
Basi La Abiria Lateketea Kwa Moto Kimara Stop Over Jijini Dar......Mtu mmoja Afariki, 16 Wajeruhiwa

Basi La Abiria Lateketea Kwa Moto Kimara Stop Over Jijini Dar......Mtu mmoja Afariki, 16 Wajeruhiwa
Basi la abiria kutoka mkoani Dodoma, Safari Njema na lori lenye tela lililokuwa limebeba mifuko ya saruji, yameteketea kwa moto na kusababisha kifo cha mtu na msongamano wa magari kwenye Barabara Kuu ya Dar – Morogoro....
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Yatoa Siku 90 Kwa Waliokosa Mikopo Kukata Rufaa

Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu Yatoa Siku 90 Kwa Waliokosa Mikopo Kukata Rufaa
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza siku 90 kuanzia leo (Jumatatu, Oktoba 31, 2016) kwa waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2016/2017 kukata rufaa kwa njia ya mtandao ikiwa hawajaridhsihwa na matokeo ya upangaji uliotangazwa...
Taarifa kutoka Ikulu Kuhusu Siku ya kwanza ya ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya

Taarifa kutoka Ikulu Kuhusu Siku ya kwanza ya ziara ya Rais Magufuli nchini Kenya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amesema Kenya ni nchi inayoongoza kwa uwekezaji nchini Tanzania ikilinganishwa na nchi nyingine za Bara la Afrika.
Rais Magufuli amesema hayo leo tarehe 31 Oktoba, 2016 katika...
BONDIA MAARUFU TANZANIA THOMAS MASHALI AFARIKI DUNIA

Bondia maarufu Tanzania Thomas Mashali afariki Dunia
Bondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Thomas Mashali amefariki dunia usiku wa kuamkia leo October 31 2016 maeneo ya Kimara DSM,
Taarifa zinadai kuwa alishambuliwa na wananchi baada ya madai ya kuitiwa mwizi.
Taarifa kutoka kwa Promota wake, Siraji Kaike amesema watu...
SIMBA MO? HATUTOKI NG'O HATA MFANYE NINI.....

Simba: MO? Haondoki ng’o hata mfanye nini
SIMBA wamepata taarifa za serikali kupitia Baraza la Taifa la Michezo Tanzania (BMT) kupiga marufuku mchakato wa mabadiliko ndani ya timu hiyo pamoja na kwa watani zao, Yanga na kuchukua hatua za haraka kuona namna ya kuokoa jahazi.
Bilionea Mohammed Dewji ‘MO’ alitangaza...
SUMAYE ADAI AMEPATA TAARIFA KUTIMULIWA NYUMBANI KWAKE PIA

Sumaye adai Amepata taarifa ya Kutimuliwa Nyumbani kwake pia
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Serikali ya Awamu ya Tatu, Frederick Sumaye amesema kuwa baada ya kutangazwa mchakato wa kunyang’anywa shamba lake la Mwabwepande, amepata taarifa ya kutaka kuondolewa anapoishi pia.
Sumaye ametoa kauli hiyo ikiwa ni siku chache baada ya...
MATOKEO YA DALASA LA SABA 2016
POLISI WAZUIA MKUTANO WA MAALIM SEIF....

Polisi Wazuia Mkutano wa Maalim Seif........Wamlinda Profesa Lipumba
Wakati polisi ikizuia mkutano mkuu maalumu wa CUF uliopangwa kuhudhuriwa na Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Sharif Hamad mjini Tanga jana, mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, Profesa Ibrahim Lipumba alifanya usafi soko la Buguruni,...
TANZAGO LA OFFICE
WGM INTERNET CAFÉ.
HUDUMA ZITOLEWAZO KAMA IFUATAVYO:
v HUDUMA YA
INTERNET CAFE
v SCANING
v KOPOKEA/KUTUMA
E-MAIL
v KUANGALIA
MATOKEO YA FORM TWO, FOUR, SIX, NA VYUO.
v USAJILI WA VYUO
KUPITIA...