
Gambo awapiga dongo wapinzani, asema kama hawatabadilika watapotea

Gambo awapiga dongo wapinzani, asema kama hawatabadilika watapotea
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo amefunguka na kusema kuwa wapinzani wa Tanzania kama hawatabadili aina ya siasa wanazozifanya sasa basi watapotea kwani serikali ya awamu ya tano imepata Rais ambaye hataniwi na wala hatishiki.
Gambo amesema...
Taarifa muhimu kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini Toka Wizara ya Afya

Taarifa muhimu kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote nchini Toka Wizara ya Afya
Tarehe 22 June 2017, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alilipia VIUADUDU vya kutokomeza Mbu wa Malaria lita 100,000 na kuagiza vigawanywe kwenye Halmashauri zote nchini.
Waziri wa Afya,Maendeleo...
Mwinyi Atabani Rais Magufuli Awe Rais wa KUDUMU Milele wa Tanzania
Lowassa Mikononi mwa Polisi Leo........Ni Kufuatia Wito wa DCI Aliyemtaka Afike Polisi saa Nne

Lowassa Mikononi mwa Polisi Leo........Ni Kufuatia Wito wa DCI Aliyemtaka Afike Polisi saa Nne
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, Edward Lowassa ametakiwa kuripoti katika Ofisi ya Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) leo saa nne asubuhi.
Lowassa ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha...