
Waziri Wa Afya Atoa ONYO Kwa Wanaosambaza Picha za Waliofariki Ajali ya MV Nyerere

Waziri Wa Afya Atoa ONYO Kwa Wanaosambaza Picha za Waliofariki Ajali ya MV Nyerere
Waziri wa Afya maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameonya usambazaji wa picha miili ya ajali ya Mv-Nyerere iliyotokea juzi Mkoani Mwanza kisiwa cha Ukala.
Kwa mujibu Waziri Mwalimu usambazaji wa picha hizo...
Diamond, Rich Mavoko Wakutana Uso kwa Uso BASATA

Diamond, Rich Mavoko Wakutana Uso kwa Uso BASATA
Msanii wa Bongo Fleva, Rich Mavoko na lebo ya WCB wamekutana tena Baraza la Sanaa Taifa (BASATA).
Team ya WCB ilikuwa ikiongozwa na Diamond Platnumz pamoja na Sallam SK.
Pande hizo mbili ziliitwa na BASATA kwa lengo la majadiliano mara ya baada ya upande wa Rich...