Mtangazaji wa E-FM ‘Bikira wa Kisukuma’ afariki dunia

Mtangazaji wa E-FM ‘Bikira wa Kisukuma’ afariki dunia
Tasnia ya habari nchini imepata pigo kwa kumpoteza mtangazaji maarufu wa kituo cha redio cha E-FM, Seth Katende maarufu kama ‘Bikira wa kisukuma’ aliyefariki jana mchana katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Kituo hicho cha redio kimeeleza kuwa...
Mkapa Afunguka.....Awataka Watanzania Waache Kulialia na Kulaamika, Adai Huwez Pata Haki bila Kutimiza Wajibu Wako

Mkapa Afunguka.....Awataka Watanzania Waache Kulialia na Kulaamika, Adai Huwez Pata Haki bila Kutimiza Wajibu Wako
Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa, amewataka Watanzania, wakiwamo wanasiasa, kuacha kulalamika kwa kukosekana kwa haki, huku akiwataka kujiuliza iwapo wametimiza wajibu wao.
Amesema...
Wananchi Mwanza Wajifungia Ndani Wakiogopa Wahalifu wa Kibiti Waliokimbilia Mwanza..........Polisi Yawatoa Hofu, Yasema Hakuna Mhalifu Atakayesalimika

Wananchi Mwanza Wajifungia Ndani Wakiogopa Wahalifu wa Kibiti Waliokimbilia Mwanza..........Polisi Yawatoa Hofu, Yasema Hakuna Mhalifu Atakayesalimika
Wakati wakazi wa mtaa wa Fumagila Mashariki Kata ya Igoma, Mwanza wakiwa na hofu baada ya watu wawili wanaodhaniwa kuwa majambazi kukimbia juzi, Jeshi...
Wiliam Ngeleja arejesha fedha za mgao wa ESCROW alizopokea Disemba 2, 2014.

Wiliam Ngeleja arejesha fedha za mgao wa ESCROW alizopokea Disemba 2, 2014.
Wiki kadhaa baada ya Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumpandisha kizimbani mfanyabiashara James Rugemalira, Mbunge wa Sengerema William Ngeleja amerudisha fedha alizopokea kutoka kwa mfanyabiashara huyo miaka mitatu...
Halima Mdee apelekwa Mahakama ya Kisutu

Halima Mdee apelekwa Mahakama ya Kisutu
Mbunge wa Kawe, Halima Mdee amefikishwa katika ukumbi wa wazi wa Mahakama ya Kisutu leo asubuhi akisubiri kesi yake.
Mdee, alikamatwa na Polisi siku sita zilizopita kwa amri ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi kwa madai ya kumkashifu Rais John Magufuli.
Hapi...
Waziri Mwakyembe Amtumbua Rasmi Malinzi.....Ni Baada ya Kusitisha Uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT

Waziri Mwakyembe Amtumbua Rasmi Malinzi.....Ni Baada ya Kusitisha Uteuzi wa Mwenyekiti na wajumbe wote wa BMT
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT) , Dionis Malinzi, ambaye ni ndugu na Rais wa Shirikisho la Soka Jamali Malinzi ametumbuliwa leo na Waziri wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na...