Mwijage azindua kiwanda cha kwanza cha mita za luku Dar

Mwijage azindua kiwanda cha kwanza cha mita za luku Dar
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amezindua kiwanda cha Inhemeter ambacho kitakuwa kinazalisha mita za luku na kuziuza kwa mashirika ya ugavi wa umeme nchini.
Kiwanda hicho ambacho ni cha kwanza kujengwa hapa nchini na cha nne...
PICHA: Sugu amefika Mahakamani tayari kusikiliza Hukumu ya Kesi yake

PICHA: Sugu amefika Mahakamani tayari kusikiliza Hukumu ya Kesi yake
Ulinzi umeimarishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya ambako itatolewa hukumu ya kesi inayomkabili mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu na Katibu wa Chadema Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Emmanuel Masonga.
Katika eneo...
Nassari afikishwa mahakamani Arumeru

Nassari afikishwa mahakamani Arumeru
Mbunge
wa Arumeru Mashariki (Chadema), Joshua Nassari amefikishwa katika
Mahakama ya Wilaya ya Arumeru akisubiri kusomewa shitaka linalomkabili.
Nasari
amesema jana alikwenda Kituo cha Polisi Usa River kufuatilia silaha
yake iliyochukuliwa na askari wakati wa uchaguzi...
Dk Slaa: Sijaja Tanzania kuapishwa kuwa balozi
CHADEMA Yapata Pigo Tena....Ni Baada ya Mgombea Wake Kuhamia CCM Siku Tatu Baada ya Kuzindua Kampeni

CHADEMA Yapata Pigo Tena....Ni Baada ya Mgombea Wake Kuhamia CCM Siku Tatu Baada ya Kuzindua Kampeni
Chadema
kimepata pigo baada ya mgombea wake wa udiwani Kata ya Manzase wilayani
Chamwino Mkoa wa Dodoma, Mashaka Chalo kujiunga na CCM pamoja na
wanachama wengine 131.
Chalo
amehama Chadema siku ya...
Mahakama yaagiza Nabii Titto apime upya akili

Mahakama yaagiza Nabii Titto apime upya akili
MAHAKAMA
ya Wilaya ya Dodoma imeagiza mkazi wa mtaa wa Ng’ong’ona Manispaa ya
Dodoma Tito Machibya, maarufu kama ‘Nabii Tito’ (45) kupimwa akili upya
katika Taasisi ya Afya ya Akili ya Mirembe Isanga mkoani Dodoma ili
kujiridhisha kama ana matatizo ya akili.
Licha
...