Wambura analipwa Mil.7.....Kasema watia saini TFF walighushiwa

Wambura analipwa Mil.7.....Kasema watia saini TFF walighushiwa
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Boniface Wambura (49) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa anapokea mshahara wa Shilingi Milioni 7 kwa mwezi.
Wambura ameyaeleza hayo wakati akitoa ushahidi...
Joshua Nassari: Serikali Inawarudisha Watanzania Enzi za Ukoloni

Joshua Nassari: Serikali Inawarudisha Watanzania Enzi za Ukoloni
Mbunge wa Arumeru Mashariki (Chadema) Joshua Nassari amesema Serikali imewarudisha Watanzania katika kipindi cha ukoloni ambako waliporwa ardhi yao bila sababu za msingi.
Nasari amesema kitendo cha kuwachomea nyumba wananchi wa Meru kinawakumbusha...