
Waziri Wa Afya Atoa ONYO Kwa Wanaosambaza Picha za Waliofariki Ajali ya MV Nyerere

Waziri Wa Afya Atoa ONYO Kwa Wanaosambaza Picha za Waliofariki Ajali ya MV Nyerere
Waziri wa Afya maendeleo ya Jamii jinsia Wazee na Watoto Ummy Mwalimu ameonya usambazaji wa picha miili ya ajali ya Mv-Nyerere iliyotokea juzi Mkoani Mwanza kisiwa cha Ukala.
Kwa mujibu Waziri Mwalimu usambazaji wa picha hizo...