Albert Msando Ajiuzulu......Ni Baada ya Video Yake Chafu Kuvuja Mtandaoni

Albert Msando Ajiuzulu......Ni Baada ya Video Yake Chafu Kuvuja Mtandaoni
Aliyekuwa mshauri wa Chama cha ACT Wazalendo, Albert Msando amejiuzulu nafasi yake hiyo kufuatia video chafu zilizomuhushisha kuvuja kwenye mitandao ya kijamii hivyo ameamua kujiuzulu ili kuwajibika na kuomba radhi kwa wananchi...
Rais Magufuli Atapokea Taarifa ya Kamati Maalum ya kuchunguza mchanga Saa Tatu Asubuhi Hii

Rais Magufuli Atapokea Taarifa ya Kamati Maalum ya kuchunguza mchanga Saa Tatu Asubuhi Hii
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, inawataarifu wananchi wote kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 24 Mei, 2017 atapokea Taarifa ya Kamati Maalum aliyoiunda kuchunguza...
Waziri Mkuu atembelea kiwanda cha kuunganisha matrekta wilayani Kibaha na Kuagiza Wakulima Wakopeshwe Ili Waweze Kununua Matrekta

Waziri Mkuu atembelea kiwanda cha kuunganisha matrekta wilayani Kibaha na Kuagiza Wakulima Wakopeshwe Ili Waweze Kununua Matrekta
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amezitaka benki mbalimbali nchini ikiwemo Benki ya Maendeleo ya Kilimo kutoa mikopo kwa vikundi vya kilimo ili viweze kupata fedha za kununulia matrekta.
Amesema...
Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI- Elimu)

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI- Elimu)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 24 Mei, 2017 amemteua Bw. Tixon Tuliangine Nzunda kuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...
LIVE: Rais Magufuli Anapokea Ripoti ya Madini Katika Makontena ya Mchanga

LIVE: Rais Magufuli Anapokea Ripoti ya Madini Katika Makontena ya Mchanga
Fuatilia maangazo ya moja kwa moja toka Ikulu ambapo Mhe. Rais Magufuli anapokea Taarifa ya KAMATI Maalum aliyoiunda kuchunguza mchanga ulio katika makontena ya mchanga wa madini (Makinikia) yaliyopo katika maeneo mbalimbali Nchini.
Fuatilia...
Breaking News Rais Magufuli amtaka Waziri Prof. Muhongo ajiuzulu

Breaking News Rais Magufuli amtaka Waziri Prof. Muhongo ajiuzulu
Rais John Magufuli amemtaka Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo kuachia madaraka kwa kushindwa kusimamia suala la mchanga wa dhahabu unaosafirishwa kwenye makontena.
Amemtaka waziri huyo kujitathimini na bila kuchukua muda...