Makamu wa Rais awaonya Trafiki wanaogeuza tochi kuwa mtaji

Makamu wa Rais awaonya Trafiki wanaogeuza tochi kuwa mtaji
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewaonya Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani kuacha kugeuza vifaa vya kupimia mwendo wa magari maarufu kama tochi, kuwa chanzo cha wao kujipatia rushwa.
Mama Samia...
Abiria wa Bodaboda na Mmliki Kuwajibishwa

Abiria wa Bodaboda na Mmliki Kuwajibishwa
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mwigulu Nchemba amewataka abiria nchini kuendelea kutii sheria za usalama barabarani vinginevyo itaundwa sheria ambayo itawawajibisha.
Waziri ameyasema hayo jana mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro kwenye uzinduzi wa wiki ya Usalama...
Lulu Michael Kizimbani Kesho Kutwa Kesi ya Steven Kanumba

Lulu Michael Kizimbani Kesho Kutwa Kesi ya Steven Kanumba
Msanii maarufu wa kike wa fani ya uigizaji wa filamu nchini, Elizabeth Michael Kimemeta, maarufu kama Lulu, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya aliyekuwa msanii maarufu wa kiume wa fani hiyo, Steven Kanumba, keshokutwa atapanda kizimbani tena wakati...
Nassari Apeleka Ushahidi wa Tatu TAKUKURU

Nassari Apeleka Ushahidi wa Tatu TAKUKURU
Mbunge wa Arumeru Mashariki, Joshua Nassari (Chadema) amewasilisha ushahidi mwingine kwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuhusu tuhuma za ununuzi wa madiwani wa Chama hicho.
Madiwani hao nane wa Chadema wamejiuzulu kwa kile walichoeleza...
Mbowe kuzungumzia afya ya Lissu, michango

Mbowe kuzungumzia afya ya Lissu, michango
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe leo atazungumzia kinachoendea katika hospitali ya Narobi nchini Kenya kuhusu afya ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano cha chama hicho, Tumaini...
Diana Rwigara Amtaka Rais Kagame Amwachie Huru yeye na Familia Yake

Diana Rwigara Amtaka Rais Kagame Amwachie Huru yeye na Familia Yake
Kiongozi wa upinzani nchini Rwanda, Diane Rwigara amemtaka Rais Paul Kagame kumfutia mashtaka na kuwaachilia ndugu zake ambao wanashikili na jeshi la polisi nchini humo.
Rwigara amesema kuwa serikali imefanya jaribio la kuinyamazisha...
ACT- Wazalendo Kuuijadili Barua ya Mwigamba Kujitoa Ijumaa hii

ACT- Wazalendo Kuuijadili Barua ya Mwigamba Kujitoa Ijumaa hii
Chama cha ACT- Wazalendo kitakutana Ijumaa Oktoba 20, 2017 kujadili masuala kadhaa, likiwemo la kujizulu kwa mwenyekiti wake wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu, Samson Mwigamba.
Mwigamba jana Jumatatu, Oktoba...
NEC: Waliopoteza vitambulisho ruksa kupiga kura uchaguzi mdogo wa madiwani

NEC: Waliopoteza vitambulisho ruksa kupiga kura uchaguzi mdogo wa madiwani
Wapiga kura waliopoteza vitambulisho vya kupigia kura watapata fursa ya kupiga kura katika uchaguzi mdogo wa madiwani wa kata 43 unaotarajiwa kufanyika Novemba 26, mwaka huu.
Hayo yamesemwa jana Jumatatu Oktoba 16, 2017 na Mkurugenzi...