Makatibu tawala wapya 27 wateuliwa......Orodha kamili iko hapa
Serikali kupitia Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa umma imetangaza Makatibu Tawala wa Wilaya walioteuliwa kujaza nafasi zilizokuwa wazi za Makatibu Tawala wa Wilaya katika Wilaya nyingine mbalimbali.
No comments:
Post a Comment