Picha: Mshindi wa shindano la Miss World 2016 lililofanyika jana Marekani

Picha: Mshindi wa shindano la Miss World 2016 lililofanyika jana Marekani

Jana, Jumapili Disemba 18, 2016 jijini Washington DC, Marekani lilifanyika shindano kubwa la kumsaka Mrembo wa Dunia (Miss World 2016) ambapo nchi mbalimbali zilishiriki kwa kuwapeleka warembo walioibuka na ushindi katika nchi hizo.

Shindano hilo lilimalizika kwa Mrembo kutoka nchini Puerto Rico, Stephanie Del Valle (19) kunyakuwa taji la Mrembo wa Dunia 2016 (Miss World 2016).

Mrembo huyo alitangazwa mshindi baada ya kuwashinda warembo wengine kutoka nchi 116 duniani kote na Tanzania ikiwa moja wapo.

Mshindi wa pili ni Yaritza Miguelina Reyes Ramirez kutoka Jamhuri ya Dominican huku nafasi ya tatu ikiwenda kwa Natasha Mannuela kutoka Indonesia.

Hapa chini ni picha za tukio hilo lililofanyika jana.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages