Kigwangala Aiagiza TAKUKURU Kumkamata Tabibu kwa Kutafuna Milioni 2 za CHF

Kigwangala Aiagiza TAKUKURU Kumkamata Tabibu kwa Kutafuna Milioni 2 za CHF
Naibu Waziri wa Afya, Dk Hamisi Kigwangalla ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kumkamata tabibu, Daniel Mtatiro wa kituo cha afya Kiagata anayetuhumiwa kula Sh2 milioni za Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF).
Dk...
Utetezi wa Serikali Kuhusu kesi ya mamlaka ya wakuu wa mikoa na wilaya Kuwaweka Watu Mahabusu kwa saa 48

Utetezi wa Serikali Kuhusu kesi ya mamlaka ya wakuu wa mikoa na wilaya Kuwaweka Watu Mahabusu kwa saa 48
Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), amewasilisha utetezi dhidi ya kesi ya kupinga mamlaka ya wakuu wa mikoa na wa wilaya kuamuru watu kuwekwa ndani kwa saa 48, kama ilivyoagizwa na Mahakama Kuu Kanda...
Dereva wa Dangote na Waethiopia 8 Wafikishwa Mahakamani
Maalim Seif Azungumzia Alivyomkuta Tundu Lissu Nairobi
Mwigulu: Aliyemtisha Nape Kwa Bastola Sio Askari Polisi, Uchunguzi Sakata la Beni Saa Nane Bado Unaendelea

Mwigulu: Aliyemtisha Nape Kwa Bastola Sio Askari Polisi, Uchunguzi Sakata la Beni Saa Nane Bado Unaendelea
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amesema aliyemtishia bastola aliyekuwa Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye, hakuwa askari.
Amesema kijana hiyo alikuwa ni mhalifu aliyetumia nafasi...
Moto Wateketeza Nyumba za POLISI Jijini Arusha

Moto Wateketeza Nyumba za POLISI Jijini Arusha
Takribani familia 13 zenye jumla ya watu 44 za Polisi zimekosa makazi baada ya nyumba walizokuwa wakiishi kuteketea kwa moto jana usiku majira ya saa moja.
Nyumba hizo wanazoishi polisi zilizopo katika kata ya Sekei Jijini Arusha zimeeketea kwa moto na...
Polisi Amuua Mkewe kwa Risasi na Kisha na Yeye Kujitandika Risasi

Polisi Amuua Mkewe kwa Risasi na Kisha na Yeye Kujitandika Risasi
Askari Polisi Stephen Mungai Kinuthia wa jimbo la Nakuru nchini Kenya, amemuuwa mkewe kwa kumpiga risasi kichwani na kisha kujiua mwenyewe mbele ya mtoto wao ambaye alishuhudia tukio zima.
Kinuthia ambaye alikuwa skari polisi wa kituo...
Serikali yawapa msaada askari waliounguliwa nyumba

Serikali yawapa msaada askari waliounguliwa nyumba
Serikali kupitia wakala wake wa ujenzi nchini (TBA) imetoa msaada wa nyumba kwa askari polisi waliounguliwa nyumba zao hapo jana, mpaka pale watakapopata makazi rasmi.
Taarifa hiyo imetolewa na Kamanda wa Polisi mkoa wa Arusha Charles Mkumbo , ambapo...
Mwigulu: Tunamsubiri Tundu Lissu Apone ili Atusaidie Kukamilisha Upelelezi

Mwigulu: Tunamsubiri Tundu Lissu Apone ili Atusaidie Kukamilisha Upelelezi
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amezungumzia uchunguzi wa tukio la kushambuliwa na kujeruhiwa kwa risasi mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu akisema anaamini akipona atatoa mchango mkubwa katika...
Wahadzabe Waiomba Serikali Iwapatie Tani 2 za Bangi

Wahadzabe Waiomba Serikali Iwapatie Tani 2 za Bangi
Jamii ya Wahadzabe wanaojishughulisha na uwindaji, kurina asali na kukusanya matunda porini, wameomba kupelekewa msaada wa bangi angalau tani mbili watakayoitumia kwa mwaka mmoja.
Wahadzabe wanaokadiriwa kufikia 500 ni jamii inayoishi porini maeneo...
Mwigulu Nchemba Aizungumzia Gari Iliyokuwa Ikimfatilia Tund Lissu Jijini Dar

Mwigulu Nchemba Aizungumzia Gari Iliyokuwa Ikimfatilia Tund Lissu Jijini Dar
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, amesema gari ndogo ambayo Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, alidai lilikuwa likimfuatilia maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam, iko Arusha na haijawahi kutumika Dar...