Mugabe achaguliwa kugombea tena urais 2018

Mugabe achaguliwa kugombea tena urais 2018

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe amepitishwa na chama chake cha Zanu- PF kuwa mgombea urais katika uchaguzi mkuu wa nchi hiyo utakaofanyika mwaka 2018.

Wajumbe wa Zanu-FP walifikia uamuzi huo wa kumpa nafasi nyingine Mugabe mwenye umri wa miaka 92 kupitia mkutano wao uliofanyika katika mji wa kusini mashariki wa Masvingo.

Mugabe amelitawala taifa hilo tangu lilipopata uhuru mwaka 1980 lakini bado chama chake kinaonesha kuwa na imani naye huku kikieleza kuwa anafaa kuwa rais kwa maisha yake yote.

Chama hicho kimefikia uamuzi huo wakati ambapo kumekuwa na maandamano ya kupinga uongozi wa Mugabe kutokana na kile kinachoelezwa kuwa ni kupinga anguko la kiuchumi na hali mbaya ya maisha.

Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages