Sugu Awaomba RADHI Wakazi wa Jiji la Mbeya Baada ya Gari Yake Kuua Mtoto

Sugu Awaomba RADHI Wakazi wa Jiji la Mbeya Baada ya Gari Yake Kuua Mtoto


Mbunge wa Mbeya Mjini (Chadema), Joseph Mbilinyi maarufu kwa jina la Sugu jana aliwaomba radhi wakazi wa Mbeya, wanafamilia, ndugu wa marehemu Recho Lutumo (14) aliyefariki dunia baada ya kugongwa na gari lake juzi.

Ajali hiyo ilitokea wakati gari hilo lililokuwa likiendeshwa na Gabriel Andrew (43) mbunge huyo akiwamo lilipokuwa likitoka jijini hapa kwenda Uwanja wa Ndege Songwe (Sia).

Recho ambaye ni yatima na aliyekuwa akilelewa na bibi yake Neema Lutumo, aligongwa wakati akivuka kwenye alama za watembea kwa miguu eneo la Iyunga katika barabara kuu ya Zambia.

Sugu akiwa na baadhi ya viongozi wa Chadema jijini Mbeya alishiriki maandalizi na shughuli zote za mazishi ya mtoto huyo kuanzia nyumbani ambako ndiko alikoomba radhi.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages