Steven Wasira: Sijateuliwa kuwa msemaji wa CCM

Steven Wasira: Sijateuliwa kuwa msemaji wa CCM


Aliyekuwa Waziri na Mbunge wa Jimbo la Bunda, Stephen Wasira, amesema kuwa taarifa zilizozagaa  kwenye mitandao ya kijamii zikidai kuwa ameteuliwa kuwa msemaji wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) sio za kweli.

Taarifa hiyo imedai kuwa Wasira ameteuliwa kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Christopher Ole Sendeka aliyeteuliwa na Rais Magufuli kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe huku nafasi ya mweka hazina na Naibu Katibu Zanzibar zikidaiwa kupata viongozi wapya.

Wasira amesema kuwa taarifa hizo sio za kweli na ni uzushi tu wa watu ambao wana nia mbaya na hawamtakii mema.Pia CCM kupitia ukurasa wao wa Twitter alikanusha taarifa hizo

“Zipuuzeni hizo taarifa, hakuna kitu kama hicho, nmepigiwa simu na watu wengi sana wanaulizia suala hili. Na sijui kuna ajenda gani nyuma ya hawa waliozusha” Amesema Wasira.

Wasira amekuwa mwanachama wa CCM kwa muda mrefu huku akishika nyadhifa mbali mbali, ingawa mwaka 1995,alikihama chanma hicho na kujiunga na NCCR-Mageuzi baada ya kuangushwa kwenye kura za maoni za ndani ya CCM na Jaji Joseph Sinde Warioba.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages