Rais Magufuli kupokea taarifa vyeti feki LEO

Rais Magufuli kupokea taarifa vyeti feki LEO
RAIS John Magufuli leo anatarajiwa kupokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa watumishi wa umma katika Ukumbi wa Chimwaga mkoani Dodoma.
Taarifa iliyotolewa jana na Naibu Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais katika Ikulu Ndogo ya Chamwino Dodoma, Jaffar Haniu...
Waziri Masauni: Waliolipua Bomu Nyumba ya Kamishna wa Polisi Zanzibar ni Viongozi wa CUF

Waziri Masauni: Waliolipua Bomu Nyumba ya Kamishna wa Polisi Zanzibar ni Viongozi wa CUF
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Hamad Masauni amesema viongozi waandamizi wa chama cha wananchi (CUF) ndiyo walihusika na tukio la kulipua bomu katika nyumba ya Kamishna wa Jeshi la Polisi Zanzibar baada ya kufanyika...
Mwenyekiti Mstaafu wa CCM Atiwa Mbaroni
CUF Lazima Kuchafuke....Wabunge Upande wa Maalim Wamepanga Kufanya Usafi Ofisi Kuu, Kambi ya Lipuma Imejipanga Kuwazuia

CUF Lazima Kuchafuke....Wabunge Upande wa Maalim Wamepanga Kufanya Usafi Ofisi Kuu, Kambi ya Lipuma Imejipanga Kuwazuia
Wapinzani wawili katika mgogoro wa uongozi wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad na Profesa Ibrahim Lipumba sasa wamefikia pabaya baada ya kuamua kupambana kuichukua ofisi ya makao makuu iliyopo...
Taarifa za kuitwa kazini kwa madaktari waliokuwa wamekidhi vigezo kwenda kufanyakazi nchini Kenya.

LIVE: Rais John Magufuli akipokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa Vyeti vya Watumishi wa Umma
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja ya Rais John Magufuli akipokea taarifa ya zoezi la uhakiki wa Vyeti vya Watumishi wa Umma kutoka kwa Waziri Angellah Kairuki- ukumbi wa Chamwino, Chuo kikuu cha Dodoma
...