Tulia: Tanzania mpya inawezekana

Tulia: Tanzania mpya inawezekana

Naibu Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson amesema kuwa Tanzania mpya yenye matokeo chanya kwa mwaka 2017 iwapo inawezekana  iwapo kila mmoja wetu atafanya kazi kwa bidii ili kuliletea taifa maendeleo.

Ameyasema hayo wakati wa ibaada maalum  ya mkesha wa kitaifa wa mwaka mpya uliofanyika katika uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam, Dk. Tulia amewataka watanzania kuwa na ushirikiano wa pamoja ili kufikia maendeleo.

“Tanzania mpya na nchi mpya yenye matokeo chanya kwa mwaka 2017 inawezekana hivyo tushirikiane kwa pamoja na kila mmoja akifanya kazi kwa bidii, lazima maendeleo yatapatikana tu”amesema Dk. Tulia.

Aidha, amewataka watanzania kuendelea kutoa ushirikiano kwa viongozi wa serikali ili waweze kupata maendeleo kwa haraka zaidi.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages