
MAYANGA ANAAMINI TAIFA STARS WATAPAMBANA VILIVYO KUWATULIZA BURUNDI, LEO

Kocha Salum Mayanga, amesema anaamini Taifa Stars watajituma ili kushinda mechi dhidi ya Burundi.
Stars inaivaa Burundi katika mechi ya kirafiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo.
"Burundi ni timu ngumu, mara nyingi wana wachezaji wenye maumbo madogo lakini wenye vipaji.
"Lengo letu ni kufanya...
MAYANJA AMPUMZISHA SAMATTA, AMBA NAFASI FARID MUSSA
Goal inakuletea mambo manne tuliyojifunza Tanzania na Botswana

Timu ya Tanzania, Taifa Stars chini ya mwalimu mpya Salumu Mayanga wamefanimiwa kuibuka na ushindi wa goli mbili kwa bila dhidi ya Botswana kwenye mechi ya kirafiki.
Tanzania ambao ndiyo walikuwa wenyeji kwenye mchezo huo, ili wachukua dakika mbili tu za kipindi cha kwanza kupata goli lililofungwa na nyota wa...
Nay wa Mitego akamatwa na polisi Morogoro..... ni kutokana na wimbo wake unaoikosoa serikali

Nay wa Mitego akamatwa na polisi Morogoro..... ni kutokana na wimbo wake unaoikosoa serikali
Mwanamuziki Emmanuel Elibariki maarufu Nay wa Mitego amekamatwa na Polisi leo asubuhi mkoani Morogoro na kupelekwa katika Kituo cha Polisi Mvomero mkoani humo.
Nay wa Mitego amekamatwa akiwa hotelini Morogoro...
Maalim Seif azipiga kufuli akaunti za CUF, Lipumba Alalamika
Jeshi la Polisi Morogoro latoa sababu kukamatwa kwa Nay wa Mitego

Jeshi la Polisi Morogoro latoa sababu kukamatwa kwa Nay wa Mitego
Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro, Kamanda Ulrich Matei amethibitisha kukamatwa kwa msanii Nay wa Mitego usiku wa kuamkia leo mkoani Morogoro.
Kamanda Ulrich Matei ametoa sababu kubwa ya kukamatwa kwa msanii...