Rwanda yashtumiwa kupanga shambulizi la kutaka kumuua msaidizi wa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza

Rwanda yashtumiwa kupanga shambulizi la kutaka kumuua msaidizi wa Rais wa Burundi Pierre Nkurunziza
Nchi ya Burundi imeishutumu Rwanda kwa madai ya kupanga kufanya majaribio ya kutaka kumuua msaidizi wa Rais Pierre Nkurunziza, Willy Nyamitwe.
Msemaji wa jeshi la polisi kutoka Burundi, Pierre Nkurukiye amesema...
Chadema: Hatutakubali tena kudhulumiwa 2020

Chadema: Hatutakubali tena kudhulumiwa 2020
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) ,Vincent Mashinji amesema hawatakubali tena kudhulumiwa kwa namna yoyote katika uchaguzi wa mwaka 2020.
Dk. Mashinji amesema hayo huku akimtolea mfano wa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC),...
RC Paul Makonda Atuhumiwa Kuwadhalilisha Watumishi wa Umma kwa Kuwaita VICHAA........Tazama Video

RC Paul Makonda Atuhumiwa Kuwadhalilisha Watumishi wa Umma kwa Kuwaita VICHAA........Tazama Video
KAULI mbalimbali zilizotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda wakati wa ziara zake zimezua taharuki jijini humo.
Kwa nyakati mbalimbali wakati wa ziara zake, Makonda anadaiwa kutoa kauli...
Selfie ya Diamond akiwa na BOXER Yazua Balaa Mitandaoni

Selfie ya Diamond akiwa na BOXER Yazua Balaa Mitandaoni
Diamond Platnumz amezua balaa mtandaoni baada ya Jumanne hii kupost selfie akiwa amevalia kiboxer cheusi.
Kwenye picha hiyo, Diamond aliandika: Straight from the Changing room!…I think i need to go back to the gym so that i can be more flexible on...
Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote waeleza sababu ya kusitisha uzalishaji

Uongozi wa Kiwanda cha Saruji cha Dangote waeleza sababu ya kusitisha uzalishaji
UZALISHAJI katika kiwanda cha saruji cha Dangote kilichopo Mtwara umesimama kwa muda kutokana na hitilafu za kiufundi zilizojitokeza katika mitambo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Dangote Tanzania, Harpreet Duggal alisema jana kwamba...
VIDEO: Masikilize Rais Magufuli Akipiga Marufuku Watu Binafsi Kuuza Sare za Majeshi
Makada Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Wazuru Tanzania Kujifunza toka CCM

Makada Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) Wazuru Tanzania Kujifunza toka CCM
UJUMBE wa watu sita kutoka Chama cha Kikomunisti cha China (CPC) uko nchini kwa ziara ya siku saba kujifunza shughuli zinazofanywa na CCM.
Akizungumza na waandishi wa habari jana, Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Dar es Salaam,...
Video mpya ya Navy Kenzo – Feel Good Ft. Wildad (Official Music Video)
Waziri Mkuu aziagiza shule na majeshi kuachana na kuni.........Waziri Maghembe Aahidi Kupandisha Kodi ya Mkaa Maradufu

Waziri Mkuu aziagiza shule na majeshi kuachana na kuni.........Waziri Maghembe Aahidi Kupandisha Kodi ya Mkaa Maradufu
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amezitaka taasisi za serikali zinazotumia kuni na mkaa kwa wingi kama vile shule na majeshi kuanza mikakati madhubuti ya kubadili mfumo wa kupikia na kuweka majiko...
Kauli ya Jeshi la Polisi Kuhusu Askari wake Aliyefariki Dunia Kwa Kujipiga Risasi

Kauli ya Jeshi la Polisi Kuhusu Askari wake Aliyefariki Dunia Kwa Kujipiga Risasi
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limezungumzia kifo cha askari wake PC Armand Furaha (33) aliyejipiga risasi kifuani bila kukusudia na kufariki dunia.
Askari huyo alijipiga risasi hiyo usiku akiwa anaelekea kwenye lindo nyumbani...
UKIMWI sasa kudhibitiwa kwa njia ya simu

UKIMWI sasa kudhibitiwa kwa njia ya simu
Tanzania imeingia rasmi kwenye mfumo maalum wa kimataifa wa kupata huduma za afya ya UKIMWI kwa njia ya simu bila malipo mfumo ambao umefadhiliwa na nchi ya Marekani.
Akizindua mfumo huo Kaimu Balozi wa Marekani nchini Bi. Virginia Blaser amesema mfumo huo utawafikia...
Pedeshee Ndama mtoto wa Ng’ombe Kortini kwa Kutakatisha Hela

Pedeshee Ndama mtoto wa Ng’ombe Kortini kwa Kutakatisha Hela
Tuhuma za kughushi, kutakatisha fedha na kujipatia dola za Marekani 540,390 kwa njia ya udanganyifu zimemfanya mfanyabiashara maarufu jijini Dar es Salaam, Ndama Shabani Hussein, maarufu kama Pedeshee Ndama mtoto wa Ng’ombe (44) kupandishwa kizimbani...
Rais Lungu Akataa Biashara ya Uswahiba.....Ataka Ufanisi Zaidi Bandari ya Dar es Salaam

Rais Lungu Akataa Biashara ya Uswahiba.....Ataka Ufanisi Zaidi Bandari ya Dar es Salaam
Rais wa Zambia, Edgar Lungu amewataka watendaji wa nchi yake na Tanzania, kuweka siasa pembeni na kujikita kwenye biashara zitakazoinua uchumi wa nchi hizo mbili.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam wakati wa kuhitimisha...
Ajali ya Gari Yaua Watu 6

Ajali ya Gari Yaua Watu 6
Watu sita wakiwamo mfungwa na wanafunzi wamekufa huku wengine wanane wakijeruhiwa, baadhi yao vibaya baada ya gari dogo walilokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka mara nne katika Kijiji cha Kipande wilayani Nkasi katika Mkoa wa Rukwa katika barabara kuu ya Mpanda – Sumbawanga.
Kamanda...
Mbunge Mwingine wa CHADEMA Atiwa Mbaroni

Mbunge Mwingine wa CHADEMA Atiwa Mbaroni
Mbunge wa Ukonga, Mwita Waitara (Chadema), amekamatwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Temeke kwa tuhuma ambazo hazikuweza kujulikana mara moja.
Taarifa za kukamatwa kwa mbunge huyo, zilianza kusambaa jana jioni, huku zikimuhusisha na mgogoro wa ardhi.
Katibu wa...