Rais Magufuli aanza ziara katika Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Rais Magufuli aanza ziara katika Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa  Tanzania Mhe. Dkt.  John Pombe Magufuli, leo tarehe 02 Machi, 2017 ameanza ziara ya kikazi ya siku 4 katika Mikoa ya Pwani, Lindi na Mtwara.

Katika ziara hiyo Mhe. Rais Magufuli atafungua miradi mbalimbali ya maendeleo na kuzungumza na wananchi katika mikutano ya hadhara.

Leo asubuhi Mhe. Rais Magufuli ameweka jiwe la msingi la kiwanda cha kutengeneza vigae (Tiles) cha Tanzania Goodwill Ceramic Tiles Ltd. kilichopo Mkuranga Mkoani Pwani na baadaye ataelekea Mkoani Lindi.

Kesho tarehe 03 Machi, 2017 Mhe. Rais Magufuli ataendelea na ziara yake Mkoani Lindi na keshokutwa tarehe 04 Machi, 2017 atafanya ziara yake Mkoani Mtwara.

Gerson Msigwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, IKULU
Dar es Salaam

02 Machi, 2017

Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages