Nigeria yakumbwa na njaa kali

Nigeria yakumbwa na njaa kali


Nigeria
Image captionMtoto akipatiwa huduma ya dharula
Umoja wa Mataifa umetoa tamko kwamba wanaijeria wapatao nilioni kumi na nne wanahitaji misaada ya kibinaadamu upande wa Kaskazini mwa nchi hiyo, mahali ambako maelfu kwa mamia ya watoto wako kwenye hatari kubwa ya kifo kutokana na njaa kali na kwamba watoto laki nne wanahitaji msaada wa dharula.
Inaelezwa kuwa mkoa uliokumbwa na baa hilo la njaa awali ilikuwa ngome ya zamani ya kundi la dola ya kiislamu Kiislam, Boko Haram.Jimbo hilo lilikuwa katika hali tete kiasi cha kutokufikiwa na misaada ya kibinaadamu kwa miaka kadhaa sasa ambapo kwa sasa ndiyo limebainika kuwa na hali mbaya ya chakula na njaa kali ikiwemo majimbo ya Borno,Yobe na Adamawa.
Shirika la kuwasaidia watoto la , Unicef, limesema kwamba inakadiwa kuwa watoto wapatao elfu sabini na watano wako katika hatari ya kufa.
Mapema , shirika la misaada ya kitabibu la madaktari wasio kuwa na mipaka wamegundua idadi kubwa zaidi ya watoto walio chini ya umri wa miaka mitano katika kambi mbili za wakimbizi utafiti ambao uliainishwa kwa kiasi kikubwa kuwa wa chini kuliko ilivyotarajiwa, na kwamba inaaminika robo ya watoto hao walikwisha kufa .
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages