Iraq yaukomboa mji wa Nimrud kutoka kwa IS

Iraq yaukomboa mji wa Nimrud kutoka kwa IS


Wanajeshi wa Iraq waukombia mji wa zamani wa NimrudImage copyrightAFP
Image captionWanajeshi wa Iraq waukombia mji wa zamani wa Nimrud
Jeshi la iraq linasema kuwa limeukomboa mji wa zamani wa Nimrud kutoka wapiganaji wa Islamic State.Mji huo upo yapata kilomita 30 kutoka mji muhimu wa Mosul ,ambao jeshi la Iraq linajiribu kuuteka kutoka kwa wapiganaji wa IS.
Wapiganaji hao wamefanya uharibifu mkubwa mjini Nimrud ,uliogunduliwa katika karne ya 13 kabla ya kujiri kwa Yesu.
IS wanasema kuwa makaburi na masanamu hayafai na ni lazima yaharibiwe.
Taarifa ya jeshi la Iraq inasema kuwa vikosi kutoka kwa jeshi la tisa viliukomboa mji huo na kuweka bendera ya Iraq juu majumba yake baada ya kusababisha mauaji mengi na uharibifu wa vifaa vya wapiganaji hao wa Islamic State.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages