NATO yamuonya Trump kuhusu uamuzi dhidi yake

NATO yamuonya Trump kuhusu uamuzi dhidi yake


NATO Secretary General Jens Stoltennburg
Image captionNATO Secretary General Jens Stoltennburg
Katibu mkuu wa NATO Jens Stoltennburg amemuonya rais mteule wa Marekani Donald Trump dhidi ya kufanya maamuzi ya kipekee ,akisema kuwa sio chaguo la muungano wa Ulaya ama hata Marekani.
Amesema kuwa mataifa ya magharibi yalikabiliwa na changomoto yake kuu ya kiusalama.
Wakati wa kampeni zake za uchaguzi bwana Trump aliutaja muungano huo wa kijeshi wa mataifa ya Magahribi kama uliopitwa na wakati.
Alisema kuwa Marekani itafikiri mara mbili kumsaidia mwanachama yeyote wa muungano huo ambaye ameshambuliwa iwapo hajalipa kodi yake ya uanachama.
Rais mteule wa Marekani Donald Trump
Image captionRais mteule wa Marekani Donald Trump
Akiandika katika gazeti moja la Uingereza Observer,bw, Stoltenberg alikiri kuhusu umuhimu wa baadhi ya wanachama kulipa kodi ya juu kwa kuwa Marekani inagharamikia asilimia 70 ya matumizi ya muungano huo.
Lakini ameongezea kuwa viongozi wa Marekani wamekuwa wakitambua kwamba wana washirika muhimu barani Ulaya kupitia usalama na udhabiti walio nao.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages