Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza

Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza


Operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza
Image captionOperesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa yaanza
Wapiganaji wanaosaidiwa na Marekani, kaskazini mwa Syria, wametangaza wanaanza operesheni ya kuukomboa mji wa Raqqa, shina la Islamic State nchini humo.
Wapiganaji hao ni wa kundi linalojiita wapiganaji wa demokrasi wa Syria, na watasaidiwa na ndege za kijeshi za Marekani.
SDF ni mkusanyiko Waarabu lakini wengi wao ni wapiganaji wa Kikurd.
Na wadadisi wanasema hilo linaweza kuwa tatizo.
Inadaiwa kuwa siku za nyuma, Wakurd waliwafukuza Waarabu kutoka miji fulani, na Wakurd wakisonga mbele hawatokaribishwa katika eneo la Raqqa , ambako watu wengi ni Waarabu.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages