Trump: Sitafuta Obamacare

Trump: Sitafuta Obamacare


Trump amemtaja Clinton kama mwanamke mkakamavu na mwenye tajiriba kubwaImage copyrightAFP
Image captionTrump amemtaja Clinton kama mwanamke mkakamavu na mwenye tajiriba kubwa
Rais mteule wa Marekani Donald Trump aliyefanya kampeini ya kupinga Bima ya afya inayofaahamika kama Obama care, sasa amesema atafanyia marekebisho machache kipengee cha sheria juu ya bima hiyo ya matibabu kwa gharama nafuu.
Katika mahojiano ya kwanza tangu achaguliwe rais siku ya Jumanne, Trump ametangaza mageuzi makubwa ya sera punde atakapochukua nafasi ya Barack Obama katika Ikulu ya White House mwezi Januari mwaka ujao.
Bwana Trump, aliyesisitiza vikali kuwa atafutilia mbali bima hiyo inayowapa fursa mamilioni ya Wamarekani maskini kupata huduma ya afya kwa bei nafuu punde tu atakapochaguliwa rais, yaonekana amebadilisha msimamo wake juu ya suala hilo.
Na Katika kile kinachoonekana kulegeza msimamo wake juu ya mpinzani wake Hillary Clinton, Rais huyo mteule amesema,Clinton ni mwanamke mkakamavu na mwenye tajiriba kubwa.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages