Maelfu waandamana kumpinga rais wa Korea Kusini

Maelfu waandamana kumpinga rais wa Korea Kusini


Maandamano mjini SeoulImage copyrightREUTERS
Image captionMaandamano mjini Seoul
Kwa wikendi ya tatu mfululizo wananchi wa Korea Kusini waliyojawa na ghadhabu wameamua kumiminika katika barabara za mji mkuu wa Seoul kumtaka rais wa taifa hilo Park Guen Hye kujiuzulu.
Mandamano ya leo yanatarajiwa kuwa makubwa zaidi. Viongozi wa maandamano hayo wanasema mamilioni ya watu watashiriki.
Maelfu ya maafisa wa polisi wa kukabiliana na ghasia,wamepelekwa katika mji mkuu wa Seoul kukabiliana na waandamanaji hao wanaopinga serikali kufika ikulu ya rais.
Rais Park Guen HyeImage copyrightAFP
Image captionRais Park Guen Hye
Rais Park Guen Hye, anatuhumiwa kwa kuwa na uhusiano wa karibu na Choi Soon-sil, anayekabiliwa na shtaka la kujaribu kuibia serikali fedha nyingi kupitia kampuni kadhaa za taifa hilo.
Bi Choi amekamatwa na kushtakiwa kwa ubadhirifu wa pesa za umma na utumizi mbaya wa mamlaka.
Maafisa kadhaa wanaohudumu katika ofisi ya Rais Guen Hye pia wanachunguzwa dhidi ya sakata hiyo.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages