Wanasayansi: Ujangili bado ni janga sugu

Wanasayansi: Ujangili bado ni janga sugu


pembe za ndovu
Image captionMkusanyiko wa pembe za ndovu ukichomwa moto
Utafiti mpya unaonesha kuwa usafirishaji haramu wa pembe za ndovu zilizokamatwa unatokana na meno ya tembo ya hivi karibuni na si yale ya zamani yaliyohifadhiwa na serikali.
Ripoti hiyo ilichapishwa katika Chuo cha Taifa cha Sayansi huko Marekani.
Umoja wa Mataifa unasema asilimia tisini ya pembe za ndovu zilokamatwa kati ya mwaka 2002 na 2014 zilipatikana kutoka kwa wanyama waliokufa kipindi kisichozidi miaka mitatu kabla ya meno yao kuchukuliwa.
Wanasayansi wanasema jitihada zote ikiwemo kuonesha uhifadhi wa hali ya juu, kampeni mbalimbali, mikataba ya kimataifa na mamilioni ya dola ya misaada zaidi ya miongo kadhaa zimeshindwa kutatua tatizo la ujangili barani Afrika.
Shirika la kimatifa la umoja wa uhifadhi wa asili limesema kuwa katika kipindi cha mwezi Septemba kuwa idadi ya ndovu barani Afrika ilishuka kwa karibu asilimia ishirini kati ya 2006 na 2015, kwa sababu ya ongezeko la ujangili wa pembe za ndovu.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages