Duterte: Hatununui tena bunduki kutoka Marekani.

Duterte: Hatununui tena bunduki kutoka Marekani.


Rais DuterteImage copyrightREUTERS
Image captionRais Duterte ameamuru washukiwa wa ulanguzi wa mihadarati wauawe
Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte, amesema kuwa ameagiza kufutiliwa mbali kandarasi ya kununua maelfu ya bunduki kutoka Marekani.
Bw Duterte amesema kuwa taifa lake litatafuta njia mbadala ya kununua silaha hizo kwingine kwa bei nafuu.
Idara ya polisi ya Ufilipino ilikuwa imepangiwa kununua takriban bunduki 26,000 kutoka Marekani.
Uhusiano baina ya nchi hizo mbili ambazo zilikuwa washirika kwa muda mrefu, umedorora tangu Bw Duterte aingie madarakani.
Kumekuwepo taarifa kwamba Marekani ilikuwa tayari imepanga kutoiuzia Ufilipino silaha hizo, kutokana na wasiwasi kuhusu ukatili wa Bw Duterte hasa katika kukabiliana na walanguzi wa dawa za kulevya.
Watu wanaotuhumiwa kuhusika katika ulanguzi wa mihadarati wamekuwa wakipigwa risasi na kuuawa.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages