Aliyeongoza Brexit akutana na Donald Trump

Aliyeongoza Brexit akutana na Donald Trump


Donald Trump na mtu aliyeongoza vuguvugu la Brexit Nigel farage wakutana
Image captionDonald Trump na mtu aliyeongoza vuguvugu la Brexit Nigel farage wakutana
Nigel Farage mtu mashuhuri ambaye aliongoza vuguvugu la Brexit na kufanikiwa kuiondoa Uingereza kutoka Muungano wa Ulaya ni mwanasiasa wa kwanza wa taifa hilo kukutana na Donald Trump tangu achaguliwe kuwa rais wa Marekani.
Viongizi hao walikutana katika Jumba la Trump mjini New York.
Msemaji wa Bw. Trump amesema mazungumzo kati yao yaliangazia uhuru na ushindi.
Nigel Farage amesema Trump ana mawazo ya busara na kwamba atakuwa Rais mzuri.
Wakati wa kampeini za uchaguzi wa Urais wa Marekani,Farage aliwahi kumpigia debe Bw Trump na kufananisha kampeni yake na vuguvugu la Brexit.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages