Le Pen: Ushindi wa Trump ni matumaini kwangu

Le Pen: Ushindi wa Trump ni matumaini kwangu


Marine Le Pen ameiambia BBC kwamba ushindi wa Donald Trump nchini Marekani umemuongezea fursa ya kuchaguliwa kuwa rais Ufaransa
Image captionMarine Le Pen ameiambia BBC kwamba ushindi wa Donald Trump nchini Marekani umemuongezea fursa ya kuchaguliwa kuwa rais Ufaransa
Kiongozi wa mrengo wa kulia nchini Ufaransa Marine Le Pen ameiambia BBC kwamba ushindi wa Donald Trump nchini Marekani umemuongezea fursa ya kuchaguliwa kuwa rais wa Ufaransa mwaka ujao.
Bi Le Pen amesema wimbi la vugu vugu la uzalendo linazidi kushika kasi dhidi ya uongozi uliyopo na kwamba ana imani atashinda uchaguzi ujao.
Akitaja mfano wa Uingereza kujiondoa kutoka muungano wa Ulaya na utawala wa Trump huko Marekani amesema Wafaransa nao watafuata mkondo huo.
Le Pen aidha amesema chini ya uongozi wake hatawapokea wahamiaji zaidi.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages