Maandamano ya kumpinga rais wa Korea Kusini yafanyika Seoul

Maandamano ya kumpinga rais wa Korea Kusini yafanyika Seoul


Rais Park Geun-hye amesema kashfa hiyo ilitokana na makosa yakeImage copyrightAFP
Image captionRais Park Geun-hye amesema kashfa hiyo ilitokana na makosa yake
Maelfu ya raia wa Korea Kusini wamekusanyika kati kati mwa mji wa Seoul kufanya maandamao ya kumpinga Rais Park Geun-hye.
Wengi wanataka ajiuzulu kufuatia madai kuwa alimruhusu rafiki wake wa muda mrefu, kuwa na ushawishi kwenye masuala ya serikali.
Siku ya Ijumaa rais alitoa hotuba kwa njia ya televisheni akisema kuwa kashfa hiyo ilitokana na makosa yake.
Bi Choi Soon-sil kwa sasa yuko korokoroniImage copyrightAFP/GETTY
Image captionBi Choi Soon-sil kwa sasa yuko korokoroni
Bi Park alijipata chini ya ushawishi wa mwanamke kwa jina Choi Soon-sil ambaye kwa sasa yuko kuzuizini.
Bi Choi anadaiwa kutumia fursa yake kunufaika kifedha
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages