Meya auawa korokoroni Ufilipino

Meya auawa korokoroni Ufilipino


Meya Espinosa (kushoto) alijisalimisha kwa polisi mwezi AgostiImage copyrightAFP
Image captionMeya Espinosa (kushoto) alijisalimisha kwa polisi mwezi Agosti
Meya mmoja nchini Ufilipino ambaye alizuiliwa kwa kushiriki kwenye ulanguzi wa madawa ya kulevya ameuawa kwa kupigwa risasi akiwa korokoroni.
Polisi wanasema kuwa Rolando Espinosa ambaye ni meya wa mji wa Albuera aliuawa akiwa na mfungwa mwenzake baada ya kuwafyatulia polisi risasi walipokuwa wakifanya msako kutafuta silaha haramu.
Bwana Espinosa ni mmoja wa maafisa zaidi ya 150 waliotajwa mwezi Agosti na rais Rodrigo Duterte, kama sehemu ya kampeni ya kuwaweka hadharani wale wanaoshiriki biashara ya madawa ya kulevya. Alikuwa amejisalimisha akidai kuwa alihofia maisha yake
Sera za Rais Duterte za kupambana na madawa ya kulevya zimepigwa vikaliImage copyrightEPA
Image captionSera za Rais Duterte za kupambana na madawa ya kulevya zimepigwa vikali
Wiki iliyopita meya mwingine ambaye alitajwa na Duterte aliuawa wakati wa ufyatuliaji wa risasi na polisi kusini mwa ufilipino.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages