PLUIJM – MBEYA CITY WALICHEZA VEMA DHIDI YETU

Pluijm alisema kuwa bao la pili katika mchezo huo halikustahili kwani maamuzi yake yalikuwa na utata na kwamba aliwaamuru wachezaji wake warudi nyuma kabla ya filimbi kupigwa na Mbeya City wakatumia mwanya huo kufunga.

“Mbeya City ni timu nzuri, wana uwezo wa kucheza dakika 90 bila kuchoka na timu ndio inavyotakiwa kuwa, lakini mwamuzi hakuwa makini, amewaumiza wachezaji wangu kiakili na kuwatoa mchezoni, aliwasababisha wacheze chini ya kiwango,” alisema Pluijm ambaye amedai kuwa anajipanga kwa ajili ya mchezo ujao dhidi ya Prisons.

“Naweza kusema ilikuwa ni siku mbaya kwetu, wachezaji wangu wameniangusha hawakucheza soka ninalolihitaji, hata hivyo, natumaini mchezo ujao tutacheza vizuri,” alisema.

Kwa matokeo hayo, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wanabaki na pointi zao 27 wakiwa wamecheza mechi 13 wakiwa nyuma ya pointi nane dhidi ya mahasimu wao Simba ambao wana pointi 35 wakicheza michezo 13 sawa na Yanga.

Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages