Wataalam wataka makaburi ya albino kulindwa

Wataalam wataka makaburi ya albino kulindwa


Mtu mwenye ulemavu wa ngozi
Image captionMtu mwenye ulemavu wa ngozi
Mtaalam wa maswala ya watu wenye ulemavu wa ngozi ameambia BBC kwamba miili ya watu hao iliozikwa inendelea kufukuliwa kwa lengo la kuchukua viungo vyao.
Watu wanaoishi na ulemavu huo tayari wanashambuiwa kutokana na imani potofu kwamba wana nguvu maalum na kwamba viungo vyao vya mwili vinaweza kutumika kama dawa za miujiza.
Zaidi ya albino 600 wameuawa katika mataifa tofauti nchini Afrika tangu mwaka 2007 kutokana na mila potofu.
Sasa mtaalamu huyo Ikponwosa Ero anasema kuwa miili iliozikwa pia inalengwa.
Alikuwa akizungumza katika mkutano wa Umoja wa Mataifa kuhusu watu wenye ulemavu wa ngozi uliofanyika kando kando ya mji wa Nairobi ambao uliwaleta pamoja wawakilishi kutoka mataifa 15.
Visa vingi vimeripotiwa nchini malawi,Mozambique na Tanzania ambapo albino wengi wanashambuliwa sana.
Waliohudhuria wametaka makaburi ya albino kufunikwa na saruji ili kuzuia ufukuaji.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages