AI: Kenya inawalazimisha wakimbizi kurudi Somalia

AI: Kenya inawalazimisha wakimbizi kurudi Somalia


Kambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab nchini Kenya
Image captionKambi kubwa ya wakimbizi ya Dadaab nchini Kenya
Shirika la kupigania haki za kibinaadamu la Amnesty International limeishtumu serikali ya Kenya kwa kuwalazimisha wakimbizi wa Somalia kurudi makwao.
Amnesty International inasema kuwa maafisa wameambia raia hao katika kambi ya Dadaab ambayo inawahifadhi zaidi ya wakimbiizi 250,000 ,kwamba watalazimishwa kuondoka iwapo hawatakuwa wameondoka kufikia mwisho wa mwezi.
Kundi hilo limeushtumu Umoja wa Mataifa na mashirika mengine kwa kushindwa kuangazia hatari itayowakabili raia hao nchini Somalia.
Lakini msemaji wa serikali Erick Kiraithe ameambia BBC kwamba shutuma hizo sio za kweli.
''Tumeona baadhi yao wakikataa lakini wengi wa wakimbizi wamekubali kwamba wanafaa kuanza maisha mapya,na wako tayari kuondoka'', alisema.Sio serikali inayowalazimisha kuondoka.
Walipoelezwa kuhusu vile watakavyorudi nchini mwao waliona ni bora''.
Mawaziri wa serikali ya Kenya wametoa ishara zisizoeleweka kuhusu iwapo kambi hiyo itafungwa kama ilivyopangwa.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages