Donald Trump kukutana na rais wa China

Donald Trump kukutana na rais wa China


Xi JinpingImage copyrightEPA
Image captionRais wa China Xi Jinping
Rais wa China Xi Jinping, na rais mteule wa marekani , Donald Trump wamekubaliana kwa njia ya simu kukutana katika siku za hivi karibuni ili kujadiliana kuhusu uhusiano kati ya nchi hizo mbili.
Runinga ya China imemnukuu bwana Xi akimwambia bwana Trump kwamba ushikamano ndio chaguo la kipekee katika uhusiano wao.
Katika kampeini yake bwana Trump amekuwa akiilaumu China kwa kufanya biashara haramu na udanganyifu wa fedha.
Pia ameonya kuwekeza asilimia 45 ya ushuru kwa bidhaa zinazotoka nje ya china.
Ofisi ya bwana trump imesema viogozi hao wawili wameonyesha heshima katika mazungumzo yao kwa njia ya simu.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages