Facebook yakana kumsaidia Donald Trump


Mark Zuckerberg akana facebook ilimsaidia Donald Trump kushinda uchaguzi
Image captionMark Zuckerberg akana facebook ilimsaidia Donald Trump kushinda uchaguzi
Mwanzilishi wa mtandao wa facebook Mark Zuckerberg amesema kuwa atatumia kila njia kukabiliana na habari za uongo,huku akikana madai kwamba mtandao huo ulimsaidia rais mteule wa Marekani Donald Trump.
Katika chapisho lake katika mtandao wa facebook ,Zuckerberg amesema kuwa atatangaza mikakati ya kukabiliana na habari zisizo na ukweli hivi karibuni.
Amesema hatua hiyo itachukua muda mrefu ili kuhakikisha kuwa marekebisho yanayofanywa hayatakuwa na athari zozote ama upendeleo.
Ameongezea kuwa zaidi ya asilimia 99 ya habari zilizopo ndani ya mtandao huo ni za kweli.
''Ni habari chache sana zilizo na uwongo na utapeli.Utapeli unaoendelea haupendelei mtu mmoja wala hata siasa'', aliongezea.
Amesema kuwa haiwezekani kwamba utapeli uliopo ulibadilisha mwelekeo wa uchaguzi nchini Marekani.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages