Marekani yalazwa 4-0 na Costa Rica mechi ya kufuzu Kombe la Dunia

Marekani yalazwa 4-0 na Costa Rica mechi ya kufuzu Kombe la Dunia


Jurgen KlinsmannImage copyrightAFP
Image captionMeneja wa Marekani ,Jurgen Klinsmann
Marekani imepata kipigo kikali katika mechi za kufuzu kwa kombe la dunia kwa miaka 36 baada ya kupokea kichapo cha mabao 4-0 kutoka kwa Costa Rica siku ya Jumanne.
Mshambuliaji Joel Campbell alifunga mabao mawili kwa wenyeji hao, huku Johan Venegas na Christian Bolanos wakaongeza mabao mawili.
Meneja wa Marekani Jurgen Klinsmann, ambaye upande wake ulipoteza katika mechi yao ya kwanza, amesema 'ni pigo ambalo lina uchungu zaidi' kwa miaka yake mitano ya huduma kama meneja.
''Ni wakati wenye uchungu kwetu sisi. Hatuna shaka kuhusiana na hilo,'' alisema Klinsmann
Marekani haijawahi kupoteza kwa mabao manne tangu mwaka wa 1980 walipochapwa mabao 5-1 na Mexico.
Kwa hivi sasa wako katika nafasi ya mwisho kati ya nchi sita zilizofuzu katika hatua ya makundi.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages