Steven Gerrard atarejea Liverpool kucheza?

Steven Gerrard atarejea Liverpool kucheza?


Steven GerrardImage copyrightGETTY IMAGES
Image captionSteven Gerrard
Beki wa zamani wa klabu hiyo Mark Lawrenson amesema Liverpool inastahili kumpatia mkataba Steven Gerrard kama mchezaji na meneja akisema jambo hilo litakuwa bora zaidi.
Gerrard, 36, anaondoka klabu ya LA Galaxy ya jiji la New York ambayo hucheza ligi ya MLS.
Lawrenson, anapendekeza Gerrard 'kujiunga na timu ya Liverpool' na kutumiwa kama mkufunzi katika timu hiyo.
"Hawatahitajika kumlipa maelfu ya pesa-wanaweza kumshirikisha timu hiyo,''amesema Lawrenson.
"Litakuwa jambo muhimu kumuweka mchezaji huyo karibu na klabu hiyo, kwa sababu hatachukuliwa na kama tishio na Klopp akiwa kwenye benchi la kiufundi, kwa hivyo hili si jambo la kuwa na wasiwasi nalo. Ninahakika Klopp atafurahia pia, ni jambo ambalo litaleta faida.'' Lawrenson amesema.
Gerrard alihudumu kama mkufunzi kwa timu ya Liverpool ya vijana wenye umri chini ya miaka 16 kwa muda mwaka 2015 na aliifurahia kazi hiyo, aliongeza Lawrenson.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages