Watoa huduma za misaada 20 watekwa Sudan Kusini

Watoa huduma za misaada 20 watekwa Sudan Kusini


Zaidi ya watu milioni mbili wamekimbia makwao kufuatia mzozoImage copyrightAFP
Image captionZaidi ya watu milioni mbili wamekimbia makwao kufuatia mzozo
Wafanyakazi ishirini wa kutoa misaada wametekwa nyara katika mji wa Nhialdiu nchini Sudan Kusini baada ya mji huo kudhibitiwa kwa muda na vikosi watiifu kwa makamu wa rais aliyefutwa Riek Machar katika jimbo la Liech Kaskazini.
Waziri wa habari nchini Sudan Kusini Lam Tungwar Kueigwong, alisema kuwa hatua zinachukuliwa kuwarudisha watoa misaada hao lakini hakutoa taarifa za kina.
"Hiki ni kisa kibaya kwa hali ya kibinadamu na watu wa Liech Kaskazini kwa ujumla," waziri alinukuliwa akisema.
Mzozo uliibuka mwaka 2013 ba\da ya rais Salva Kiir, kumlaumu bwana Machar kwa kupanga mapinduzi, madai ambayo Machar aliyakanusha.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages