Badibanga atangazwa kuwa waziri mkuu DRC

Badibanga atangazwa kuwa waziri mkuu DRC


Samy BadibangaImage copyrightAFP
Image captionSamy Badibanga
Mwanasiasa wa upizani Samy Badibanga, ametagazwa kuwa waziri mkuu nchini Jamuhuri ya Demokrasia ya Congo ,kufuatia makubaliano yaliyokumbwa na utata kati ya serikali na wapizani kwa kuahirisha uchanguzi wa urais hadi April 2018.
Uchanguzi mkuu ulistahili kufanyika mwezi huu ambapo wapiga kura nchini DRC walistahii kupiga kura mwezi huu kumchagua mrithi wa Rais Kabila, wakati wa kumalizika kwa muhula wake wa mwisho.
Makubaliano hayo yameongeza hatamu ya uongozi kwa Joseph Kabila.
Ni siku tatu tangu waziri mkuu nchini Jamhuri ya Demokrasi ya Congo Augustin Matata Ponyo, kujiuzulu na kutoa fursa ya kuteuliwa mrithi wake kuongoza serikali ya mpito.
Baraza lote la mawaziri lilijiuzulu pamoja na bwana Ponyo.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages