Meya wa New York aeleza hofu ya jamii za Wahamiaji kuhusu Trump

Meya wa New York aeleza hofu ya jamii za Wahamiaji kuhusu Trump


Meya wa New York Bill de BlasioImage copyrightAP
Image captionMeya wa New York Bill de Blasio
Meya wa New York kutoka chama cha Democratic, Bill de Blasio amesema kuwa amemwambia Donald Trump kwamba jamii za wahamiaji katika mji huo zinahofia juu ya hatua atakazozichukua dhidi yao.
Bwana Trump ametishia kuwarejesha makwao ama kuwafunga wahamiaji milioni tatu wenye historia ya uhalifu.
Mameya wa miji mingine ikiwemo Los Angeles na Washington wamesema kuwa watawalinda watu dhidi ya kurejeshwa walikotoka.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages