Misiba Yasitisha Mkutano wa Bunge Mjini Dodoma Leo

Misiba Yasitisha Mkutano wa Bunge Mjini Dodoma Leo

Mkutano wa Tano  wa Bunge umeahirishwa kwa namna yake baada ya muhimili huo wa dola kupata misiba mikubwa miwili.

Misiba hiyo ni wa Spika Mstaafu, Samuel Sitta aliyefariki nchini Ujerumani na Mbunge wa Dimani(CCM) Hafidh Ally ambaye alifariki dunia usiku wa kuamkia leo (Ijumaa) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa ya Dodoma.

Mara baada ya kutangaza  kifo cha Hafidh Spika wa Bunge,  Job Ndugai alimtaka Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge, Ajira, Kazi, Vijana Jenista kutengua kanuni ili  kuwezesha mambo vote kufanyika.

Spika alimtaka Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Sheria  Ndogo Ndogo, Andrew Chenge kuhitimisha hoja yake ya taarifa ya Kamati iliyowasilishwa juzi bila kujadiliwa na wabunge ili  Serikali yaweze kufanyia kazi.

Baada ya kufanya hiyo, Spika ameahirisha bunge hadi saa  8.30 mchana kwa ajili ya kikao maalum cha Bunge.

Amesema mara  baada kikao maalum cha bunge kumuaga Sitta basi  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa atatoa hoja yake kuahirisha Bunge kwa  kifupi sana  tofauti na wakati mwingine.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages