Ted Cruz: Nimempigia kura Trump

Ted Cruz: Nimempigia kura Trump


Bw Trump na Bw CruzImage copyrightGETTY IMAGES
Image captionBw Trump na Bw Cruz walishambuliana vikali kampeni za mchujo
Aliyekuwa mpinzani mkuu wa mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump wakati wa mchujo wa kuteua mgombea wa chama hicho amesema amempigia kura Bw Trump.
Seneta wa Texas Ted Cruz, ambaye mara kwa mara alirushiana vijembe na Bw Trump, alitangaza hayo alipojiunga na mgombea mwenza wa Bw Trump Mike Pence eneo la Iowa kabla ya kuabiri ndege ya Trump-Pence kuelekea Michigan.
Baada ya kuulizwa maswali chungu nzima na wanahabari, Cruz alisema alimpigia kura Bw Trump Jumatatu.
"Ninafanya kila niwezalo tumshinde Hillary Clinton. Atakuwa mbaya sana iwapo atashinda urais."
Ameeleza kuwa suala muhimu litakuwa uteuzi wa majaji wa Mahakama ya Juu nchini Marekani.
Aidha, amesema ni muhimu sana kwa chama cha Republican kuendelea kuwa na wabunge wengi kwenye seneti.
Si zamani sana ambapo Cruz na Trump walikuwa wanarushiana matusi, wakiitana "panya", "muongo" na "mwoga".
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages