Uganda yawashinda Congo Brazzaville bao 1-0

Uganda yawashinda Congo Brazzaville bao 1-0


Uganda yawashinda Congo Brazzaville bao 1- 0
Image captionUganda yawashinda Congo Brazzaville bao 1- 0
Uganda imejizolea pointi nne katika kundi E kwenye mechi za kufuzu kwa kombe la dunia kwa kuwatandika Congo Brazzaville bao 1- 0.
Bao hilo lililofungwa na mshambuliaji Farouk Miya mnamo dakika ya 18 liliwaweka Crane Uongozini na kuwapandisha katika jedwali hadi namba moja katika kundi lao.
Uganda iko kileleni mwa kundi E
Image captionUganda iko kileleni mwa kundi E
Miya ambaye huijizea Standard Liege nchini Ubelgiji alidhibiti mpira na kuvurumisha kombora kali lililomchanganya kipa wa Congo Brazzavile Mongondza Ngobo.
Kwngineko Afrika kusini iliwashinda Senegal kwa mabao 2-1 na kuingia kilele mwa kundi D.
Hii nido mara ya kwanza Senegal inashindwa tangu ipoteze kwa Algeria wakati wa mechi za makundi kuwania kombe la taifa bingwa barani Afrika mwaka 2015.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages