Wafungwa miaka 10 kwa kufuja pesa za uzeeni Uganda

Wafungwa miaka 10 kwa kufuja pesa za uzeeni Uganda


Maafisa 3 wahukumiwa miaka 10 jela kwa kufuja pesa za hazina ya uzeeni Uganda
Image captionMaafisa 3 wahukumiwa miaka 10 jela kwa kufuja pesa za hazina ya uzeeni Uganda
Maafisa watatu wa vyeo vya juu nchini Uganda wame hukumiwa kifungo cha miaka 10 gerezani kwa ufujaji wa karibu Dola milioni ishirini na tano,kutoka hazina ya malipo ya uzeeni.
Mahakama moja mjini Kampala imewapata maafisa hao na makosa ya kuelekeza malipo ya uzeeni ya zaidi ya watu elfu mbili, katika akaunti zao za kibinafsi.
Mahakama hiyo aidha imesema watatu hao wanaweza kukata rufaa dhidi ya huku hiyo. Maafisa wengine watano wa vyeo vya chini katika hazina hiyo ya uzeeni, pia wanatarajiwa kushtakiwa wa makosa sawia na hayo.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages