Watu 17 wauawa kwenye mlipuko Iraq

Watu 17 wauawa kwenye mlipuko Iraq


Waliouawa walikuwa wakikimbia kundi la Islamic StateImage copyrightAFP/GETTY IMAGES
Image captionWaliouawa walikuwa wakikimbia kundi la Islamic State
Polisi wa Iraq wanasema kuwa watu 17 wameuwawa, katika milipuko ya mabomu yaliyotegwa kando ya barabara, wakati walikuwa wakiwakimbia wapiganaji wa Islamic State, Kaskazini mwa nchi.
Milipuko miwili ilipiga lori, lilobeba familia zilizokuwa zikiukimbia mji wa Hawija, unaodhibitiwa na kundi la Islamic State.
Polisi kwenye gari jengine pia aliuwawa.
Jeshi la serikali ya Iraq linaendelea na operesheni kubwa ya kuukomboa mji wa Mosul, ulioko mikononi mwa Islamic State.
Pande hizo mbili zimekuwa zikirushiana mizinga na risasi, huku jeshi linajaribu kujizatiti katika mitaa iliyoikomboa, mashariki mwa Mosul.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages