Mvulana apigwa hadi kufa kwa kula mkate Kenya

Mvulana apigwa hadi kufa kwa kula mkate Kenya


Ramani ya Kenya
Image captionRamani ya Kenya
Mtoto mmoja amefariki huku mwengine akiuguza majeraha baada ya kudaiwa kupigwa na shangazi yao kwa kula mkate katika kijiji cha Kiganjo kaunti ya Murang'a nchini Kenya.
Kulingana na runinga ya NTV nchini Kenya,Mtoto huyo wa miaka mitatu alifariki kutokana na majeraha aliyopata kwenye kichwa huku nduguye wa miaka 5 akiwa amelazwa katika hospitali ya Nyeri.
Wawili hao wanadaiwa kupigwa na shangazi huyo ambaye amedaiwa kuwa na akili punguani .
Majirani wanasema kuwa waliwasikia wavulana hao wakipiga kelele na kuelekea kuwaokoa kabla ya kuwapata wamelala ardhini wakiwa hawana fahamu.
Runinga hiyo inasema kuwa kulingana na mkaazi mmoja wa eneo hilo wavulana hao walikuwa wamewachwa nyumbani na bibi yao ili kukaa na shangazi yao.
Nilikuwa nimeenda kununua dawa ya mvulana mmoja kati yao baada ya ngozi yake kukumbwa na upele kabla ya kupata simu kutoka kwa mmoja wa jirani zangu akinielezea kilichotokea,alisema.
Kulingana na wakaazi wa eneo hilo Shangazi huyo aliwapiga wavulana hao baada ya kula mkate ambao ulikuwa wake.
Share:

Related Posts:

No comments:

Post a Comment

Categories

Ordered List

  1. Lorem ipsum dolor sit amet, consectetuer adipiscing elit.
  2. Aliquam tincidunt mauris eu risus.
  3. Vestibulum auctor dapibus neque.

Sample Text

Lorem ipsum dolor sit amet, consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua. Ut enim ad minim veniam, quis nostrud exercitation test link ullamco laboris nisi ut aliquip ex ea commodo consequat.

Definition List

Definition list
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.
Lorem ipsum dolor sit amet
Consectetur adipisicing elit, sed do eiusmod tempor incididunt ut labore et dolore magna aliqua.

Support

Need our help to upload or customize this blogger template? Contact me with details about the theme customization you need.

Pages